Global Zingiro Global kwa Kiswahili itawakilishwa na zingiro kwa sababu
ni kitu mviringo au duwara.
ni kitu mviringo au duwara.
Scanner Tambazo Tambazo kuwakiliswa na scanner lina maana kutaza au
kueneza.
kueneza.
Internet Ungamano Ungamano lina maana internet kuunganiisha au
kuwaunganisha watu mbali mbali kuweza kusikilizana.
kuwaunganisha watu mbali mbali kuweza kusikilizana.
Office Ukurungwani Ukurungwani lina maana ya office,mkurungwa ni officer
neno la zamani la Kiswahili
neno la zamani la Kiswahili
Radio Mwengoya Mwengoya lina maana ya radio kutokana na neno mwengo
kwa kiengereza ni echo utanda kazi wake ni sauti ya kuja
kutoka mbali uliko wewe maana mwengo wa
kuya = mwengoya.
kwa kiengereza ni echo utanda kazi wake ni sauti ya kuja
kutoka mbali uliko wewe maana mwengo wa
kuya = mwengoya.
Computer Ngamizi Computer linawakilishwa na neno ngamizi kwa ajili ya utenda
kazi wake maana nikupokeya ukitiacho cha meza ikiwa ni
vitabu ni maandishi anajaza bila ya kukataa ile iharibike.
kazi wake maana nikupokeya ukitiacho cha meza ikiwa ni
vitabu ni maandishi anajaza bila ya kukataa ile iharibike.
Mouse Kitauzi Mouse linawakilishwa na kitauzi maana kifaa chenya
kuchagua unachotakakukiona kukivuta kije mbele yako
katika ngamiza
kuchagua unachotakakukiona kukivuta kije mbele yako
katika ngamiza
Fax Pepesi Fax linawakilishwa neno la Kiswahili pepesi lina maana
ya mfano wakupepesa utenda kazi wake.
E-mail Baruwa pepe E-mail linawakilishwa na baruwa pepe yaani baruwa yenye
kupeperushwa kwa njia ya Kiamu pepe ni umeme.
ya mfano wakupepesa utenda kazi wake.
E-mail Baruwa pepe E-mail linawakilishwa na baruwa pepe yaani baruwa yenye
kupeperushwa kwa njia ya Kiamu pepe ni umeme.
Ray Uka Ray linawakilishwa na uka katika matumizi ya kumepambauka
kwa lahaja ya Kiamu, kwa kisanifu kumepambazuka kwa wingi
ni nyuka.
Picture Uyoo Picture linawakilishwa na uyoo kutokana na kuiyowa.
Science Ulimbe Science linawakilishwa na ulimbe lenya maana ya elimu
ya ulimwengu na viumbe.
Psychology Ushunuzi Psychology linawakilishwa na ushunuzi lenya maana
ya kushuwa yaliyomo ndani kudhihirika nje.
No: Prof. Ahmed Sheikh Nabahany
Swahili consultant
TUSIMA
No comments:
Post a Comment